Worldwide Campaign to stop the Abuse and Torture of Mind Control/DEWs
Mimi ni mvulana na napendeal kushirikia na watu walio makini na vitu wanvyo vifanya na kutenda na wenye kujiamini ipasavyo kama inavyo takikana hivyo basi nachukua fursa hii kumkaribisha mtu yeyote anaejisikia kushirikiana na mimi katika mambo mbalimbali na tofauti tofauti kwani siku zote uwa napenda kuwa hivyo kwani hiyo ni kama mfumo wa maisha yangu ya kila siku pote ninapokuwapo, Lakini sipendelei watu wanochukuwa fursa kama hizi kupitia mitandao fotautitofauti kuendeleza ubadhilife na…
ContinueAdded by Rajab R. Sanze Jr. on September 4, 2011 at 7:19am — 1 Comment
Mimi ni muathirika wa mtingo wa mawazoc"TI"kwa miaka mingi sasa ambayo ni takribani miaka 14 hadi sasa na wakati mwingine najikuta napoteza fahamu kabisa na kumbukumbu katika kichwa changu kwa vipindi tofauti tofauti na baada ya muda uwa na rejea katika haki yangu ya kawaida na hali hii usababishwa na utokana pindi tu ninapojaribu kukumbuka mambo mbalimbali ambayo yalinitokea katika nyakati tofauti tofauti katika mfumo wa maisha yangu tangu nilipokuwa mdogo wa umri wa miaka 8 hadi mpaka sasa…
ContinueAdded by Rajab R. Sanze Jr. on September 4, 2011 at 6:30am — No Comments
© 2021 Created by Soleilmavis.
Powered by